Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na
kupinduka jioni hii katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela
jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni
mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona
akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.Mafuta aina ya petroli yakimwagikaPolisi Usalama barabarani wakilinda eneo hiloTela hilo T 172ABT likiwa limepinduka
No comments:
Post a Comment