Mastaa
waliokuwa wakiunda kundi la zamani la Kaole wakiongea na wanahabari
(hawapo pichani) jinsi walivyopania kufanya kweli kwenye uzinduzi wa
kundi lao jipya la Kaone, Boxing Day ndani ya Dar Live.
Muhogo Mchungu akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni msanii Thea.
Wasanii hao wakongwe wakifurahia jambo wakati wa mkutano huo na wanahabari. Mkutano huo umefanyika leo katika Hoteli ya The Atriums iliyopo Afrikasana, Dar.
No comments:
Post a Comment