Balozi
wa China nchini Tanzania,LU Youqing akicheza ngoma ya asili ya Mkoa wa
Kagera wakati alipokuwa akilakiwa kwenye uwanja wa ndege wa
Bukoba.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, John Mongella .
Mkuu
wa Mkoa wa Kagera, John Mongella akimkabidhi Balozi wa China nchini
Tanzania,LU Youqing Hati na ramani eneo lililotengwa na serikali ya mkoa
kwa ajili ya kujenga chuo cha Ufundi (VETA) cha Kitaifa kilichoahidiwa
na serikali ya China wakati wa ziara ya Rais Kikwete nchini humo mwaka
jana.
Balozi
wa China nchini Tanzania,LU Youqing akipokea zawadi ya ramani ya Afrika
Mashari iliyochorwa kutoka kwa wanafunzi wa shule ya Mgeza Mseto.
Jamn natk kujua iki chuo kipo maeneo gani na kinafunguliwa lini?
ReplyDelete