Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Temeke Mhe.Maabad S. Hoja akifafanua jambo wakati
wa kikao na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii walipofanya
ziara ya kutembelea Vikundi vya Vijana vilivyopata mkopo kutoka Wizara
ya Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa hiyo Bw. P. Kagimbo,
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Juma Nkamia
(MB) na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Mhe. Siad
Mtanda.
Baadhi
ya maafisa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
wakifuatilia taarifa fupi kuhusu Vikundi vilivyokopeshwa kupita Mfuko wa
Maendeleo ya Vijana iliyosomwa na Mkuu wa Idara ya Maendeleo, Ustawi wa
Jamii na Vijana wa Manispaa ya Temeke Bw. John Bwana (hayupo pichani)
wakati wa ziara ya Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii katika Manispaa
hiyo jana.
Kushoto
ni mjumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii Mhe. Dkt. Maua Daftari
akifuatilia taarifa fupi kuhusu Vikundi vilivyokopeshwa kupita Mfuko wa
Maendeleo ya Vijana iliyosomwa na Mkuu wa Idara ya Maendeleo, Ustawi wa
Jamii na Vijana wa Manispaa ya Temeke Bw. John Bwana (hayupo pichani)
jana jijini Dar es Salaam wakati wa ziara ya Kamati ya Bunge ya
Maendeleo ya Jamii katika Manispaa hiyo.
Mwenyekiti
wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Mhe. Said Mtanda akizungumza
na wafanyakazi wa Manispaa ya Temeke kamati hiyo ilitofanya ziara ya
kutembelea Vikundi vya Vijana vilivyonufaika na Mkopo kutoka Mfuko wa
Maendeleo ya Vijana katika manispaa hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Katikati ni Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mhe.Maabad S. Hoja na
wamwisho kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Bw.P. Kagimbo
Baadhi
ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Manedeleo ya Jamii, na wataalamu kuto
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakifuatilia taarifa fupi
ya maendeleo ya Temeke Youth Saccoss wakti wa ziara ya kamati hiyo jana
jijini Dar es Salaam.







No comments:
Post a Comment