Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome
Sijaona(Katikati) akikata utepe, kuashilia uzinduzi Rasmi wa nyumba
aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya
kujifungua watoto mapacha mfurulizo hadi kufikia sita na kukosa Mahali
pa kuishi, Covenant Bank imemkabidhi nyumba hiyo ambayo ataimiliki yeye
mwenyewe pamoja na thamani za ndani na Bima ya Matibabu kwa Mwaka mzima.
Anaeshuhudia ni mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Sabetha Mwambenja (wa
kwanza kushoto) na Salome Mhando (wa kwanza kulia).
Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona
(kushoto), Pamoja na Mkurugenzi wa benki Hiyo, Sabetha Mwambenja,
wakimkabidhi hati ya kiwanja na Umiliki wa nyumba Salome Mhando, Mama
alietelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfurulizo,
hadi kufikia sita, Benki hiyo imemkabidhi nyumba hiyo pamoja na Bima ya
Matibabu kwa mwaka mzima.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome
Sijaona(Katikati) akiwapokea watoto wa Salome Mhando wakati akiwasili
kukabidhiwa nyumba yake. Pamoja nae ni Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant
Bank, Sabetha Mwambenja na Mjumbe wa Bodi ya benki hiyo, Margaret
Kyarwenda.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona (wa
kwanza kulia) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha
Mwambenja na Mama Salome Sijaona, Wakimfurahia moja wa watoto wa mama
huyo akipanda katika moja ya vitanda walivyokabidhiwa.
No comments:
Post a Comment