
Uwashushe abiria matajiri wachache wenye kudhamiria kuhujumu safari ya wanyonge walio wengi kwenda kujikomboa kutoka kwenye umasikini. Na matajiri hao wana hila, wanaweza hata kukuhonga kondakta wetu, kwa kwa kuwa tayari hata kukupa nauli zaidi ya uliyopanga kondakta wetu...!
Goodmorning.
Maggid.
No comments:
Post a Comment