KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 20, 2015

NAPE AHUDHURIA SEMINA KWA 'NABII'MWINGIRA

 “Katiba hii ya CCM imesheheni kila kitu.. tatizo ni baadhi ya watu kusuasua katika kuyatekeleza” anasema Nape.
 Nape akimaliza kutoa mada yake kwa kuwaomba watanzania kuhakikisha nchi inapata mgombea wa Urais aliye bora na siyo kwenye kuinunua nafasi hiyo muhimu
 Nape akirejea kuketi baada ya kutoa mada kwa zaidi ya saa moja na nusu kwenye semina hiyo
 Washiriki wakimshangilia Nape baada ya mada yake
 Nape akijibu maswali yaliyoulizwa na washiriki baada ya kutoa mada yake
' Mtume na Nabii' Mwingira akitoa maelezo kusadifu maneno aliyotoa Nape katika mada yake.

No comments:

Post a Comment