KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 21, 2015

HALMASHAURI YA WILAYA YA CHUNYA IMEANZA KUSAMBAZA NAKALA ZA KATIBA PENDEKEZWA KWA WANANCHI.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Deodatus Kinawiro akizungumza na wananchi wa Chunya waliofika katika uzinduzi wa zoezi la kusambaza nakala za katiba mpya inayopendekezwa kwa wananchi.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Deodatus Kinawiro akiwasomea wananchi wake moja ya vipengere vilivyomo ndani ya Katiba inayopendekezwa.

Mkurugenzi wa Halmashauri yaWilaya ya Chunya, Sophia Kumbuli, akitoa taarifa juu ya nakala zitakazosambazwa kwa wananchi wa Wilaya ya Chunya

No comments:

Post a Comment