Kushoto
ni Mkuu wa vipindi vya Radio 5 Mathew Philip na Ashura Mohamed wakiwa
katika picha ya pamoja na wanafunzi wa sekondari walioshiriki katika
maadhimisho hayo ya Radio duniani.
Wakulima pamoja na vijana kanda
ya kaskazini wakiwa katika majadiliano mara baada ya kufanya ziara
katika kituo cha Radio 5 nakuona namna inavyoendesha vipindi vyake
katika maadhimisho siku ya radio duniani iliyofanyika 13/2/2015 jijini
Arusha.
Mkuu wa vipindi vya radio 5 Mathew Philip akiteta jambo na mkulima aliyefika katika maadhimisho hayo.


No comments:
Post a Comment