KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

February 1, 2015

TUKIO LA KUSHANGAZA LATOKEA KWENYE TV UHOLANZI

Kijana huyo akiwa ameshikilia silaha kwenye televisheni ya Uholanzi
Lilikuwa tukio la kushangaza kwenye TV ya Uholanzi usiku baada ya kijana mwenye silaha kuvamia studio za televisheni ya taifa na kukata kuwekwa hewani.
NOS ilizimwa kwa saa baada ya mshukiwa huyo aliyevaa vizuri, aliyekuwa na bunduki ya kimya, kushikiliwa studio hiyo.
Ila kamera ziliendelea kurekodi wakati polisi walipoingia ili kumpokonya silaha.
Ripota aliyezungumza na mshukiwa huyo alisema, kijana huyo ni mwanafunzi wa miaka 19, aliyedai kuwa mfuasi wa wadukuzi wanafanya kazi katika idara ya ujasusi ya Uholanzi.Mshkiwa huyo alidai kuwa ni mfuasi wa wadukuzi wanaofanya kazi katika idara ua ujasusi ya Uholanzi
Mshtakiwa huyo alidai kuwa ni mfuasi wa wadukuzi wanaofanya kazi katika idara ua ujasusi ya Uholanzi
Hakuna aliyejeruhiwa katika tukio hilo japo risasi zilifyatuliwa.
Ilikuwaje kijana huyu kuingia studio akiwa na silaha?

No comments:

Post a Comment