![]() |
| Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiponda kokoto wakati alipokagua ujenzi wa daraja la Mang’a Myamba Same Mashariki. |
![]() |
| Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia jinsi Tangawizi inavyosindikwa katika kiwanda hicho huku mkurugenzi wa SIDO Tanzania Bw.Omary Bakari akiangalia. |
![]() |
| Wananchi wa NDugu wakifurahia jambo katika mkutano huo. |
![]() |
| Naoe Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenyre kijiji cha Ndugu wilayani Same. |








No comments:
Post a Comment