KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

March 31, 2015

KUTOKA WAKALA WA VIPIMO (WMA):SERIKALI KUPITIA WAKALA WA VIPIMO YAHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA HUDUMA BORA ZA VIPIMO



 


Bidhaa zinazoingizwa nchini:
Kuhusu bidhaa zinazoingizwa nchini, anasema kwamba wakala wake unakagua vipimo vya bidhaa hizo kwa mujibu wa sheria ya nchi na kuhakisha kwamba muagizaji anaingiza nchini bidhaa kama ilivyokusudiwa.

“Kwa mfano mfanyabishara anayeagiza viberiti hana budi kuingiza nchini viberiti vyenye idadi ya njiti inayokubalika kisheria kisheria ,” anasema na kuongeza kwamba  katika hilo wakala wake hauna maskhara kwani wanahesabu hadi idadi ya njiti za kiberiti lengo likiwa ni kumlinda mtumiaji wa mwisho ambaye ni mwananchi.

“Mfanyabiashara anapoagiza mfano sabuni za kuogea, tuhahakikisha kwamba  vipimo vya sabuni hiyo viko sahihi na kwamba uzito wake uko sawa, tukigundua kuwa kuna mapungufu basi kuna sheria na kanuni ambazo zinatuongoza katika kuchukua hatua,stahiki,” anasema.

No comments:

Post a Comment