KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

March 26, 2015

MKUTANO WA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI NA MIPANGO WA NCHI WANACHAMA WA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMISHENI YA UCHUMI YA AFRIKA (ECA) WAANZA ADDIS ABABA – ETHIOPIA.

1
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Hamis H. Mwinyimvua (Kulia) na Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Mh.Naimi Azizi wakiwaa kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Watalaamu wa masuala ya Fedha Afrika unaofanyika Mjini Addis Ababa – Ethiopia.
2
Baadhi ya wajumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 8 wa Watalaam wa masuala ya Fedha – Afrika wakijadili jambo wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa ‘United Conference Centre’ Addis Ababa. Kulia ni Nd.Mbayani Saruni na Kushoto ni Bi.Glory Sindilo.
3
Mh.Naimi Azizi Balozi wa Tanzania Nchini Ethiopia (Katikati) na Dkt. Hamis Mwinyimvua (kushoto) wakifurahia jambo na baadhi ya washiriki wa Mkutano wa 8 wa Watalaamu wa masuala ya Fedha wa Afrika baada ya ufunguzi wa Mkutano huo.                                      

No comments:

Post a Comment