Mkurugenzi
wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Wanja Mtawazo (
kulia) akisalimiana na Mbunge wa Lulindi- Masasi, Jerome Bwanausi (
kushoto) ambaye ni mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya
Nishati na Madini mara baada ya kamati hiyo kuwasili katika eneo la
mtambo wa kufua umeme wa Kinyerezi I. Kamati hiyo inafanya ziara katika
miradi ya umeme katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Singida, Arusha
na Kilimanjaro pamoja na kuzungumza na wadau wa madini ya tanzanite
katika mkoa wa Manyara ili kujionea maendeleo ya sekta hizo. |
No comments:
Post a Comment