KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 14, 2015

DC KINONDONI AUNDA TUME HURU KUCHUNGUZA UBOVU WA BARABARA

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana, kuhusu tume aliyoiunda kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.  

No comments:

Post a Comment