KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 13, 2015

DK.SHEIN :SERIKALI YA ZANZIBAR IMEPANIA KUINUA MICHEZO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi Mkuu wa Wilaya Kati Unguja Vuai Mwinyi Seti za jezi na vifaa vyengine kwa Timu za Wilaya yake wakati hafla ya Sherehe ya kukabidhi vifaa vya Michezo kwa Timu 40 za Jimbo la Uzini vilivyotolewa na Mwakilishi wa Jimbo Mohamed Raza katika uwanja wa mpira Bambi jana. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa nasaha zake kwa wanamichezo wa Jimbo la Uzini baada ya kukabidhi vifaa mbali mbali vya Michezo leo katika uwanja wa mpira Bambi vilivyotolewa na Mwakilishi wa Jimbo hilo Mohamed Raza Daramsi na kuwataka vijana hao kuvitunza na kuthamini mchamngo huo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Mtoto Munira Khamis wa Bambi baada ya kumalizika kwa sherehe za utoaji wa Vifaa vya Michezo kwa Jimbo la Uzini jana vilivyotolewa na Mwakilishi wa Jimbo hilo Mohamed Raza.

No comments:

Post a Comment