Mratibu wa Mbio za Kilimanjaro Marathoni Meta Peter
akizungumzuia wanariadha wa Tanzania ambao wanartarajia kushiriki Mbio
hizo huku akisema mbio za mwaka huu zitashirikisha wanariadha
walioshiriki mbio za dunia za Nyika mwaka huu watakao toana jasho na
wakimbiaji kutoka nchini Kenya,Uganda na Malawi.
Mkurugenzi wa Zara Tanzania Adventure na Zara Charity,Zainab
Ansel akizungumza na wanahabari kuhusu maandalizi ya mbio hizo ambazo
zinadhaminiwa na Shirika lisilo la kiserikali la Zara Charity
.
 |
| Waandaaji wa mbio za kimataifa za Ngorongoro Maratahoni katika
mkutano na wanahabari kuzungumzia maandalizi ya mwisho ya mbio hizo
zinazotarajia kufanyika Aprili 18 mwaka huu ,Karatu mkoani
Arusha |
|
No comments:
Post a Comment