KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 13, 2015

MFUKO WA GEPF WAFANYA MKUTANO NA WADAU ARUSHA WAJADILI MASWALA MBALIMBALI YA MFUKO HUO

SAM_1775
MKUU  wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.
SAM_1761
Wadau wakiwa katika mkutano huo     

No comments:

Post a Comment