KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

July 21, 2015

MUSTAFA PANJU AJINADI KWA WANANCHI WA JIMBO LA ARUSHA ASEMA AKIPATA UBUNGE HAWATAJUTIA KAMWE

SAM_3941
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akiongea katika mkutano wa hadhara katika kata mpya ya Olmoti jana ambapo wagombea 12 walipata fursa ya kujitambulisha kwa wananchi na kunadi sera zao, Mustapha panju amesema kuwa kilicho msukuma kugombea nafasi hiyo ni kuakikisha wananchi wa jimbo la arusha wanapata ridhaa ya kuwa na maendeleo ya hali ya juu ikiwemo kuweza kukua kisayansi na kuweza  kufika mwezini.(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
SAM_3903
Mustafa Panju akiwa na wagombea wenzake wa chama hicho jana katika kata mpya ya Olmoti jijini Arusha walipokwenda kujitambulisha kwa wananchi na kunadi sera zao pia walipata fursa ya kutembelea kata ya Olasiti,Osunyai JR
SAM_3905
Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano akizungumza katika kata mpya ya Olmoti jana ambapo alisisitiza wananchi kusikiliza sera za wagombea huku akiwataka kutokupiga makofi au kushangilia wakati wakijieleza

No comments:

Post a Comment