Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Mhe, Haji Omar Kheir akitoa hutuba ya ufunguzi wa Jumuiya ya Watanzania Wasio na Ajira (TUWEPO)
kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein, leo katika Ofisi yao iliyopo Rahaleo Mjini Unguja
(kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe,Abdalla Mwnyi Khamis na
Mwenyekiti wa Jumya hiyo Ussi Said Suleiman (kulia), {Picha na Ikulu]. |
Baadhi ya wanajumuiya ya Watanzania Wasio na Ajira (TUWEPO) wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Mhe, Haji Omar Kheir kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba ya ufunguzi wa jumuiya hiyo leo huko katika Ofisi yao rahale Mjini Unguja. |
No comments:
Post a Comment