KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

September 24, 2015

MAGUFULI AKUTANA NA KIGINGI GEITA

Katika hali ya kustaajabisha mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi( CCM) Mh John Magufuli amekutwa na pingamizi la wana mabadiliko mkoani geita wakati akijaribu kuwashawishi wampigie kura za urais.hali ilianza kua tata pale mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi ya ccm Abdalah Bulembo alipoanza kumsema vibaya mgombea wa urais kupitia Chadema na ukawa Mh Edward Lowasa .ndipo ghafla kundi kubwa la wana mabadiliko walipoanza kupinga na kunyenyua mabango ya kudhibitisha uhitahaji wao wa mabadiliko.
hali ilizidi kuwa mbaya alipopanda Mgombea mwenyewe kuhutubia na ndipo alipoonekana kukasirika na kuamrisha askari kudhibiti mvumo huo wa wana mabadiliko.
              kaa nami karibu nitaendelea kukujulisha kinachoendelea huko Geita, kwa hisani ya Siasa leo TZ blog

No comments:

Post a Comment