 |
| Mgombea mwenza nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu
Hassan akisalimiana na wasanii na wananchi wengine alipokuwa akiwasili
katika viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi leo Mjini Korogwe ambapo
alifanya mkutano wa kampeni.
|
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Profesa ‘Maji Marefu’
akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni za mgombea
mwenza uliofanyika Korogwe Mjini leo.
Sehemu ya wanaCCM na wananchi
Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Kwagunda, Salehe Abdullah (kushoto)
akizungumza mara baada ya kujiunga na CCM leo kwenye mkutano wa hadhara
wa mgombea mwenza na kukikimbia chama chake cha CHADEMA.
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza mgombea mwenza huku wakiendelea na biashara zao sokoni hapo.
Sehemu ya wananchi na wanaCCM wakiwa wamemsimamisha njiani
Mgombea ubunge wa Jimbo la Bumbuli, January Makamba (kushoto)
akibadilishana jambo na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Lushoto, Balozi
Abdul Mshangama leo katika Jimbo la Mlalo.
Sehemu ya wanaCCM na wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa
mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akinadi ilani
ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo katika Jimbo la Mlalo, Lushoto.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mlalo, Shaban Omar Shekilindi akizungumza na wapiga kura wake jimboni Mlalo.
Mgombea ubunge Jimbo la Bumbuli, January Makamba akizungumza na umati
katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza, Makamba akizungumza
aliwaomba wananchi wasikipe kura chama cha Chadema na ushilika wao wa
UKAWA kwani wapo kwa ajili ya mabadiliko ya nafsi zao na si vinginevyo.
Mgombea mwenza, Bi. Samia Suluhu Hassan (kushoto) akimtambulisha Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Mlalo, Shaban Omar Shekilindi alipokuwa akizungumza
na wapiga kura wake jimboni Mlalo.
No comments:
Post a Comment