![]() |
Meya wa Wilaya ya Ilala Dar es Salaam Jerry Slaa akisalimiana na viongozi wa CCM wa Mkoa wa kusini Unguja katika Mkutano wa kampeni uliofanyika kiwanja cha Jumbi Skuli. |
![]() |
Kikundi cha ngoma ya sindimba kikitumbuiza katika Mkutano wa kuwanadi wagombea wa CCM wa Jimbo la Tunguu. |
![]() |
Mgeni rasimin Meya wa Wilaya ya Ilala Dar es Salaam Jerry Slaa (wakatikati alievaa miwani) na viongozi wa CCM wa Mkoa wa Kusini Unguja wakitizama burudani katika Mkutano huo. |
![]() |
Mgeni rasimin Meya wa Ilala Jerry Slaa akimnadi mgombea uwakilishi Simai Mohammed Said wa Jimbo la Tunguu kwa wananchi wa Mkoa huo. |
![]() |
Mgeni rasimi Meya wa Ilala Jerry Slaa akimnadi mgombe Ubunge wa Jimbo la Tunguu Khalifa Salim Suleiman katika Mkutano ulifanyika kiwanja cha Jumbi Skuli. |
No comments:
Post a Comment