KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

October 5, 2015

LOWASSA AMPONGEZA MZEE KINGUNGE NGOMBALE MWIRU KUJIUNGA NA MABADILIKO

Mzee Kingunge
"Namshukuru sana Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kwa uamuzi yake wa busara na kijasiri wa kuunga mkono mabadiliko. Kama muasisi wa CCM na mkongwe wa siasa hapa nchini, ameonyesha kwamba mabadiliko nje ya CCM yanawezekana"Amesema Lowassa kupitia akaunti yake ya Facebook.

No comments:

Post a Comment