Katibu
Tawala wa Mkoa wa Dodoma Ndg. Rehema Madenge (kulia walioingia mtaroni)
na watumishi wengine wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakishiriki zoezi la
kusafisha mitaro ya maji ya mvua eneo la Bahi Road mapema leo ikiwa ni
mwanzo wa utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais la kutumia siku ya uhuru 9
Disemba kufanya usafi wa mazingira.
Watumishi
wa Manispaa ya Dodoma wakishiriki zoezi la kufanya usafi kwa kufyeka
magugu eneo la makaburi ya Bahi Road mapema leo ikiwa ni mwanzo wa
utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais la kutumia siku ya uhuru 9 Disemba
kufanya usafi wa mazingira.
Wafanyakazi
wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Tume ya Maendeleo ya Ushirika
wakijiorodhesha baada ya kumaliza zoezi la usafi wa mazingira mapema leo
ikiwa ni mwanzo wa utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais la kutumia siku ya
uhuru 9 Disemba kufanya usafi wa mazingira, orodha hiyo itatumika
kuwabaini watumishi ambao hawajashiriki zoezi la usafi.
No comments:
Post a Comment