KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 30, 2015

MAHAFALI YA13 YA CHUO KIKUU CHA KUMBUKUMBU YA HUBRT KAIRUKI YAFANYIKA JIJINI DAR.


 Makamu Mkuu wa Chuo cha kumbukumbu ya Hubet Kairuki Profesa, Kito Mshigeni akizugumza na wanafunzi  juu ya kutumia elimu waliyoipata  kuwasaidia, kuwainua, na kuwaletea  matumaini  mapya wote wenye uhitaji katika jamii, kwa kadri ya uwezo wao, ameyazungunza hayo katika mahafali ya 13 ya chuo kuu cha kumbukumbu ya Hubert Kairuki Jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Chuo  Kikuu, Balozi Dk. Salim Ahmed Salim wa kwanza (kushoto) akiwa na uongozi wa chuo kikuu cha kumbukumbu ya Hubert Kairuki kabla ya kuanza kutunukia elimu zao wanazo hitimu  wahitimu wa elimu ya juu,  katika mahafali ya 13 ya chuo kikuu cha kumbukumbu ya Hubert Kairuki leo Jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Chuo  Kikuu, Balozi Dk. Salim Ahmed Salim akimkabidhi cheti cha shahada ya kwanza ya Uuguzi  mhitimu, Nyawawa Wawa  leo katika mahafali ya 13 ya chuo kikuu cha kumbukumbu ya Hubert Kairuk Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment