KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

November 30, 2015

SHEIKH PONDA AACHIWA HURU

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda aachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Morogoro, ushahidi haukujitosheleza upande wa mashtaka.
-Makosa yaliyokuwa yakimkabili ni mawili ambayo ni kushawishi watu kutenda kosa, pamoja na kutoa matamshi yanayoumiza imani ya dini nyingine.

No comments:

Post a Comment