![]() |
Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue akiongea na Waandishi wa Habari leo 01 Disemba, 2015 katika Ofisi ya Mawasiliano Ikulu kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7 katika kesi iliyofunguliwa katika Mahakama Jijini Uingereza dhidi ya Benki ya Stanbink Tanzania |
![]() |
Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue (kushoto) akiongea na Waandishi wa Habari leo 01 Disemba, 2015 katika Ofisi ya Mawasiliano Ikulu kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7 katika kesi iliyofunguliwa katika Mahakama Jijini Uingereza dhidi ya Benki ya Stanbink Tanzania. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Bwana Assah Mwambene. |
![]() |
Baadhi
ya Waandishi wa Habari wakifuatilia taarifa toka kwa Katibu Mkuu
Kiongozi kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7 katika
kesi iliyofunguliwa katika Mahakama Jijini Uingereza dhidi ya Benki ya
Stanbink Tanzania.
(Picha zote na Benedict Liwenga)
|
No comments:
Post a Comment