Sehemu
inayoendelea kufukiwa hapo Mtoni Marine ambayo itatumika hapo baadae
kwa ajili ya eneo maalum litakalotoa fursa kwa Wananchi kupata
mapumziko.{ Public Beach }.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji Vitega Uchumi Zanzibar { ZIPA } Nd.
Salum Khamis Nassor akimueleza Balozi Seif hatua zinazochukuliwa na
Taasisi yake katika kuona taratibu za uwekezaji zinachukuliwa kwa
wanaowekeza vitege uchumi vyao Nchini.
Balozi
Seif akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baghresa
Group Bwana Said Salim wakitembelea kuona mradi wa Ujenzi wa Majengo
Mapya ya Hoteli ya Mtoni Marine ambayo iko chini ya Kampuni hiyo kwa
hivi sasa.




No comments:
Post a Comment