KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

January 9, 2016

ASKOFU MKUU WA JIMBO KUU LA KATOLIKI LA DAR ES SALAAM, MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO ASIFU HUDUMA ZA TAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE

3
Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo na kupongeza jopo la Madaktari waliomhudumia katika Hospitali ya Mhimbili.
4
Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo na kupongeza jopo la Madaktari waliomhudumia katika Hospitali ya Mhimbili kutoka kushoto ni Profesa Mohamed Janabi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo na Katibu Mkuu wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee,  Dkt. Mpoki Ulisubisya na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee Mhe Ummy Mwalimu
5
Profesa Mohamed Janabi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo  akimshukuru  Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo  kwa kutoa zawadi za kadi za pongezi kwa baadhi ya madaktari  na wauguzi wa Taasisi hiyo ya moyo kushoto ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee Mhe Ummy Mwalimu
6
Profesa Mohamed Janabi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete akiwafafanulia waandishi wa habari mambo mbalimbali waliyotaka kujua kuhusu taasisi hiyo katikati ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee Mhe Ummy Mwalimu na  kushoto ni Katibu Mkuu wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, watoto na Wazee, Dkt. Mpoki Ulisubisya.    

No comments:

Post a Comment