
Naibu Waziri wa Fedha na
Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji akiwahutubia wajumbe wa Baraza kuu la Pili
la Wafanyakazi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wakati akifungua
kikao cha tatu cha Baraza hilo kilichofanyika leo katika ukumbi wa
TAFORI mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri
ya Wizara ya Fedha na Mipango Prof. Isaya Jairo akisoma hotuba ya
kumkaribisha mgeni rasmi wakati wa kikao cha tatu cha Baraza Kuu la Pili
la wafanyakazi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kilichofanyika leo
katika ukumbi wa TAFORI mkoani Morogoro.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza kuu
la Pili la Wafanyakazi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wakisikiliza
kwa makini hotuba ya mgeni rasmi (hayupo pichani) wakati wa kikao cha
tatu cha Baraza hilo kilichofanyika leo katika ukumbi wa TAFORI mkoani
Morogoro.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji (wa tano kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza kuu la Pili la Wafanyakazi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) baada ya kufungua kikao cha tatu cha Baraza hilo kilichofanyika leo katika ukumbi wa TAFORI mkoani Morogoro





No comments:
Post a Comment