
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.
Philip Mpango akizungumza na Wabunge kutoka nchini Sweden (hawapo
pichani) leo jijini Da es salaam wakati wa mkutano uliofanyika Wizarani
hapo, kuhusu ushirikiano wa kimaendeleo kati ya Tanzania na Sweden.
Kulia ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof.
Mussa Assad.
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.
Philip Mpango akizungumzia vipaumbele vya Serikali wakati wa mkutano na
Wabunge kutoka nchini Sweden leo jijini Dar es salaam kwa ziara ya
kikazi nchini.



No comments:
Post a Comment