
Waziri Mkuu Kassim Majliwa
akizungumza na Mkuu wa bandari ya Tanga, Henry Arika (kulia kwake ) na
Mhandisi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania Felix Mahangwa ( kulia wakati
alipotembelea bandari ya Tanga Februari 19, 2017. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kssim Majaliwa
akiongozwa na Mkuu wa Bandari ya Tanga , Henry Arika (kulia kwake)
kukagua bandari hiyo Februari 19, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Matishari matatu ambayo Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa ametaka apewe maelezo kwa maandishi kuwa ni nani
aliyeidhinisha mchakato wa manunuzi yake bila kuzingatia viwango na
ubora uliokusudiwa na serikali. mheshimiwa Majaliwa alifanya ziara
katika bandari ya Tanga Februari 19, 2016. (Picha na ofisi ya Waziri
Mkuu)




No comments:
Post a Comment