| Bondia Fransic Cheka ‘katikati’
akiwa katika picha ya pozi na meneja wake, Juma Ndambile wa Kampuni ya
Advanced Security Limited baada ya kuzunumzia mpambano wake na Mserbia
Geard Ajetovic utakaofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club Februari 27 kushoto ni meneja msaidizi Nassoro Said ‘mzee wa mbele Picha na SUPER D BOXING NEWS |
| Msanii wa bendi ya muziki wa dansi African Stars ‘Twanga Pepeta’ Luiza Mbutu kulia akizungumza na waandisho wa habari awapo pichani wakati wakitangaza mpambano wa bondia Francis Cheka na Mserbia Geard Ajetovic utakaofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club Februari 27 katikati ni msanii Ally Choki na kushoto ni promta Jay Msangi Picha na SUPER D BOXING NEW |


No comments:
Post a Comment