
Naibu Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura ((wa nne
kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa
TFF, BMT na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo mara baada ya
kumaliza wa kikao kilichofanyika ofisinii kwake leo jijini Dar es
Salaam.Kikao hicho kimefanyika ili ya kujadili suala la matumizi ya
mashine za Elekroniki katika kukusanya mapato yatokanayo na mauzo ya
Tiketi wakati wa mechi kwenye uwanja wa Taifa.
Picha na: Frank Shija, WHUSM
Naibu Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akizungumza
katika kikao baina yake na uongozi kutoka TFF na BMT ofisini kwake leo
jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujadili suala la matumizi ya mashine
za Elekroniki katika kukusanya mapato yatokanayo na mauzo ya Tiketi
wakati wa mechi kwenye Uwanja wa Taifa.Kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza
la Michezo la Taifa (BMT) Dioniz Malinzi na kulia ni Meneja wa Uwanja wa
Taifa Rish Urio.



No comments:
Post a Comment