KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 1, 2016

HABARI PICHA YANGA VS NDANDA JANA TAIFA

Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma (kushoto) akitafuta maarifa ya kuwapita wachezaji wa Ndanda FC ya Mtwara katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1
Winga wa Yanga, Godfrey Mwashiuya (kulia) akimgeuza beki wa Ndanda FC jana Uwanja wa Taifa
Mshambuliaji wa Yanga, Paul Nonga akimtoka beki wa Ndanda jana Taifa

1 comment: