Mshambuliaji
wa Yanga, Donald Ngoma (kushoto) akitafuta maarifa ya kuwapita
wachezaji wa Ndanda FC ya Mtwara katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation
Cup Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1
Winga wa Yanga, Godfrey Mwashiuya (kulia) akimgeuza beki wa Ndanda FC jana Uwanja wa Taifa
Mshambuliaji wa Yanga, Paul Nonga akimtoka beki wa Ndanda jana Taifa
Kwani hawa yanga au asno hiyo no rangi ya jezi
ReplyDelete