KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 24, 2016

JULIANA SHONZA APOANIA KUSAIDIA WANAWAKE WENZAKE

shon5
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Juliana Shonza, akiwa amebebwa na Wanawake, Wajumbe wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Momba mkoani hapa jana alipokutana nao mjini Tunduma kwa lengo la kuwashukuru kwa kumchagua katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Picha na Mpigapicha Wetu
shon6
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Juliana Shonza, akizungumza na wanawake, Wajumbe wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Momba Mkoa wa Songwe, jana alipokutana nao mjini Tunduma kwa lengo la kuwashukuru kwa kumchagua kwake katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Picha na Mpigapicha Wetu
shon1
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Rose Tweve (kulia)  akimsisitiza jambo Mbunge mwenzie wa Mkoa wa Songwe, Juliana Shonza jana wakati Shonza alipokutana na Wajumbe wa Baraza la Wanawake wa CCM (UWT)  Wilaya ya Momba   mjini Tunduma kwa lengo la kuwashukuru wajumbe hao kwa kumchagua kuwa mbunge wa viti maalum mkoani hapa katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Picha na Mpigapicha Wetu.
shon3
Mbunge wa  Viti Maalum, Mkoa wa Songwe, Juliana Sonza na Mbunge mwenzia wa Mkoa wa Iringa, Rose  Tweve ( wa tatu kushoto) wakiserebuka na wajumbe wa Baraza la Wanawake wa CCM Wilaya ya Momba (UWT)  Mkoa wa Songwe, jana walipokutana nao mjini Tunduma kwa lengo la kuwashukuru  kwa kumchagua katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana kupitia UWT. Picha na Mpigapicha Wetu

No comments:

Post a Comment