
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa
Songwe, Juliana Shonza, akiwa amebebwa na Wanawake, Wajumbe wa Baraza la
Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Momba mkoani hapa jana
alipokutana nao mjini Tunduma kwa lengo la kuwashukuru kwa kumchagua
katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Picha na Mpigapicha Wetu
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa
Songwe, Juliana Shonza, akizungumza na wanawake, Wajumbe wa Baraza la
Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Momba Mkoa wa Songwe,
jana alipokutana nao mjini Tunduma kwa lengo la kuwashukuru kwa
kumchagua kwake katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Picha na Mpigapicha
Wetu
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa
Iringa, Rose Tweve (kulia) akimsisitiza jambo Mbunge mwenzie wa Mkoa wa
Songwe, Juliana Shonza jana wakati Shonza alipokutana na Wajumbe wa
Baraza la Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Momba mjini Tunduma kwa
lengo la kuwashukuru wajumbe hao kwa kumchagua kuwa mbunge wa viti
maalum mkoani hapa katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Picha na
Mpigapicha Wetu.
Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa
Songwe, Juliana Sonza na Mbunge mwenzia wa Mkoa wa Iringa, Rose Tweve (
wa tatu kushoto) wakiserebuka na wajumbe wa Baraza la Wanawake wa CCM
Wilaya ya Momba (UWT) Mkoa wa Songwe, jana walipokutana nao mjini
Tunduma kwa lengo la kuwashukuru kwa kumchagua katika uchaguzi mkuu wa
mwaka jana kupitia UWT. Picha na Mpigapicha Wetu





No comments:
Post a Comment