1.Serikali isiliingilie Bunge ,iache Bunge ifanye kazi yake na
kutoingilia Uhuru wa bunge na vyombo vya habari bunge lirushwe live ili
watanzania wapate haki yao ya msingi ya kujua nini wawakilishi wao
wanafanya Bungeni.
2.Kuandaa Makongamano nchi nzima na kutoa elimu kwa vijana wote juu ya ukandamizaji wa sheria na haki za Binadamu.
2.Kuandaa Makongamano nchi nzima na kutoa elimu kwa vijana wote juu ya ukandamizaji wa sheria na haki za Binadamu.
3.Tunamtaka Raisi aongoze nchi katika misingi ya utawala bora ,aache kukurupuka ,afanye utafiti kabla ya kuchukua maamuzi.
4.Kuendeleza harakati za kudai katiba Mpya,kama msingi wa kuheshimu maoni ya wananchi.
5.Ikiwa haya hayata tekelezwa ,na Serikali ya Magufuli sisi Vijana wa BAVICHA na CHASO tutaandamana nchi nzima kudai haki za watanzania.
Imetolewa na,
Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa.
4.Kuendeleza harakati za kudai katiba Mpya,kama msingi wa kuheshimu maoni ya wananchi.
5.Ikiwa haya hayata tekelezwa ,na Serikali ya Magufuli sisi Vijana wa BAVICHA na CHASO tutaandamana nchi nzima kudai haki za watanzania.
Imetolewa na,
Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa.
No comments:
Post a Comment