KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 25, 2016

MAMBO YA VODACOM KIBAHA

Mkazi wa Mlandizi Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani,Darueshi Luwanja akilishwa keki na Kaimu Katibu tawala wa Wilaya hiyo,Anathory Mhango kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo,wakati wa uzinduzi wa duka jipya la Vodacom Tanzania”Service desk” lililopo Mlandizi,Wengine kutoka kushoto,Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Matina Nkurlu,Mkuu wa kitengo cha wateja wa rejareja Vodacom,Brigita Stephen na Mkazi wa eneo hilo Abdallah Ahmed.

No comments:

Post a Comment