Wabunge wakiingia bungeni mjini Dodoma.
Wabunge wakijadiliana jambo ndani bunge
Wabunge wakipata habari kupitia kwenye simu bungeni
Mbunge wa Jimbo la Momba, David Silinde akichangia hoja bungeni
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akichangia hoja
Majadilianao yakiendelea
Wabunge, Prosper Mbene, Dk.Mary Mwanjelwa na Allan Kiula wakiingia bungeni
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu akijibu maswali bungeni
Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Kisanga akiuliza swaliPICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
No comments:
Post a Comment