Aliyekuwa wakati mmoja mlinzi wa
mwana wa Gaddafi ambaye baadaye alifanya kazi katika baa moja nchini
Australia ameumwa na nyoka alipokuwa akifanya haja ndogo msituni.
Raia
huyo wa Australia Gary Peters alikuwa mlinzi wa Saad Gaddafi ,mwana wa
aliyekuwa rais wa Libya Muamar Gaddafi lakini kwa sasa anafanya kazi
katika kilabu moja.
Raia huyo mwenye umri wa miaka 52 alikuwa
akinywa vinywaji pamoja na marafikize baada ya kazi siku ya Jumatano
wakati alipotoka ili kwenda haja ndogo.
Bwana Peter alikuwa amemaliza kufanya haja ndogo wakati nyoka huyo alipomng'ata kifundo cha mguu.
|
April 1, 2016
MWAKA WA TABU:ALIYEKUWA MLINZI WA GADDAFI ANG'ATWA NA NYOKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Je? Yupo hai na kama yupo hai anaendeleaje hali zake
ReplyDelete