KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 4, 2016

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM, RAJAB LUHWAVI AZUNGUMZA NA MAKATIBU WA MATAWI NA KATA WILAYA YA DODOMA MJINI LEO

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Rajab Luhwavi akiwasalimia baadhi ya viongozi baada ya kuwasili Ofisi za Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma, leo Aprili 3, 2016, kuzungumza na Makatibu wa CCM wa matawi na Kata katika wilaya ya Dodoma mjini. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya hiyo, Paulo Luhamo na Katikati ni Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Salum Kalli.
 Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Salum Kalli akizungumza maneno ya utangulizi kabla ya kuanza kikao hicho
 Makatibu wa matawi na Kata za wilaya ya Dodoma mjini, wakiwa tayari ukumbini kuzungumzana Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Rajab Luhwavi katika Ukumbi wa Sekretarieti Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Rajab Luhwavi (wapili kulia) akiwasili katika ukumbi wa Sekretarieti katika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma, leo Aprili 3, 2016, kuzungumza na Makatibu wa CCM wa matawi na Kata katika wilaya ya Dodoma mjini. Kulia ni Katibu wa CCM wa mkoa wa Dodoma, Jamila Yusuph.
 Katibu wa CCM wilaya ya Dodoma mjini akihamasisha, baada ya Luhwavi (katikati) kuwasili ukumbini. kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa Dodoma Jamila Yusuph

No comments:

Post a Comment