| Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Galawa akizungumza katika mkutano huo. |
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na
Michezo, Nape Nnauye amesema uamuzi wa serikali kuzuia matangazo TBC kutokurusha mojakwamoja(live) matangazo ya Bunge ilikuwa
na lengo la kulinusuru shirika hilo lisife
kwani lilikuwa likitumia fedha nyingi kwa ajili ya matangazo hayo .
Michezo, Nape Nnauye amesema uamuzi wa serikali kuzuia matangazo TBC kutokurusha mojakwamoja(live) matangazo ya Bunge ilikuwa
na lengo la kulinusuru shirika hilo lisife
kwani lilikuwa likitumia fedha nyingi kwa ajili ya matangazo hayo .
Amesema uamuzi huo ni mkakati wa
kuliwezesha shirika hilo kuweza kujiendesha kwani awali lilikuwa likitumia
fedha nyingi kwa urushaji wa matangazo ya bunge bila ya malipo.
kuliwezesha shirika hilo kuweza kujiendesha kwani awali lilikuwa likitumia
fedha nyingi kwa urushaji wa matangazo ya bunge bila ya malipo.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii
na Michezo, Nape Nnauye, amesema hayo jijini Mbeya, wakati akizungumza na wadau
wa habari,michezo, utamaduni na watendaji wa serikali Mkoa wa Mbeya na Songwe,
na Michezo, Nape Nnauye, amesema hayo jijini Mbeya, wakati akizungumza na wadau
wa habari,michezo, utamaduni na watendaji wa serikali Mkoa wa Mbeya na Songwe,
Amesema Shirika la utangazaji TBC,
lilikuwa linaagizwa kurusha matangazo ya bunge bila ya malipo ambapo kwa mwaka
shirika lilikuwa likitumia Bilioni 4 kwa mapato yake ya ndani na kulifanya
kushindwa kukarabati mitambo pamoja na mslahi ya watumishi hivyo hivyo uamuzi
huo ulikuwa sahihi licha ya wengi kuonesha kutolidhishwa no.
lilikuwa linaagizwa kurusha matangazo ya bunge bila ya malipo ambapo kwa mwaka
shirika lilikuwa likitumia Bilioni 4 kwa mapato yake ya ndani na kulifanya
kushindwa kukarabati mitambo pamoja na mslahi ya watumishi hivyo hivyo uamuzi
huo ulikuwa sahihi licha ya wengi kuonesha kutolidhishwa no.
Amesisitiza kuwa suala hilo litaleta
heshima ya Bunge kwani ilifika wakati, baadhi ya wabunge walikuwa wakitoa lugha
za maudhi pamoja na kucheza sarakasi mambo ambayo yalikuwa yakivunja heshima ya
bunge.
heshima ya Bunge kwani ilifika wakati, baadhi ya wabunge walikuwa wakitoa lugha
za maudhi pamoja na kucheza sarakasi mambo ambayo yalikuwa yakivunja heshima ya
bunge.


No comments:
Post a Comment