KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 22, 2016

RC MAKONDA AMWAPISHA MKUU WA WILAYA MPYA WA KINONDONI ALLY SALUM HAPI JIJINI DAR ES SALAAM

Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (kushoto), akijiandaa kuapa. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akiwa tayari kumwapisha.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akimwapisha Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (kushoto), jijini Dar es Salaam leo. 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akisaini hati ya kiapo wakati alipomwapisha Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (kushoto), jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando.
Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (kushoto), akisaini hati ya kiapo chake, mara baada ya kuapishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia), jijini Dar es Salaam leo. 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia), akionesha Katiba ya Jamhuri ya Muungano (kushoto) na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambavyo alikuwa tayari kumkabidhi Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (kushoto), mara baada ya kumwapisha leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia), akimkabidhi Katiba ya Jamhuri ya Muungano na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), mara baada ya kumwapisha Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (kushoto), leo jijini Dar es Salaam. 
Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (kushoto), akiabidhiwa maua na Katibu Tawala Msaidizi (Utawala) wa Mkoa wa Dar es Salaam, Elly Mcha. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando.  
Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (kushoto), akiabidhiwa maua na Katibu Tawala Msaidizi (Utawala) wa Mkoa wa Dar es Salaam, Elly Mcha. 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema akisoma salamu za Mkoa kwa Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema akimkabidhi kadi yenye salamu za Mkoa Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi. 
Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi, akizungumza mara baada ya kuapishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. 
Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando, akizungumza wakati akielezea kuhusu hafla ya kumwapisha Mkuu wa Wilaya mpya wa Kinondoni, Ally Salum Hapi (wa pili kushoto), jijini Dar es Salaam leo. Wa tatu ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na wa nne ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment