KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

April 4, 2016

WAZIRI MWAKYEMBE AWASHUKURU KAMAL STEEL KWA KUTOA VIUNGO BANDIA VYA WALEMAVU

1
Mwenyekiti wa makampuni ya Kama Group , Gagan Gupta wakati wa hafla ilyofanywa na kampuni hiyo ya  Kamal Steel Ltd kiwandani hapo  wakati wa utoaji wa msaada  wa viungo bandia,  kwa watu wenye ulemavu 16, vyenye thamani ya zaidi ya  sh. milioni 80, hafla hiyo ya kukabidhi msaada huo imefanyika hivi karibuni jijini Dar es salaam.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
2
Waziri wa Sheria na Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe akishukuru kampuni hiyo kwa msaada ilioutoa kwa watanzania hao wenye ulemavu wa miguu ambapo yeye ndiye aliyewakabidhi kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Kamal Steel, Sameer Gupta.
3
Waziri wa Sheria na Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe akimvisha mguu wa bandia Bw. Siaga Raphael  Kiboko mara baada ya kukabidhiwa kutoka kampuni ya Kamal Steel ya jijini Dar es salaam kushoto ni Mwenyekiti wa kampuni hiyo Bw. Gagan Gupta.
4
Waziri wa Sheria na Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe akizungumza na  Bw. Siaga Raphael  Kiboko kabla ya kumkabidhi msaada wake wa viungo bandia vya mguu.
5
Waziri wa Sheria na Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe akiongozana na Bw. Gagan Gupta ambaye ni mwenyekiti wa kampuni ya Kalam Steel tayari kwa ajili ya kukabidhi msaada huo.
6
Waziri wa Sheria na Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe akifurahia jambo na  Bw. Siaga Raphael  Kiboko mara baada ya kumvisha mguu wake huku Mwenyekiti wa kampuni ya Kamal Steel Bw. Gagan Gupta pamoja na viongozi wengine wa kampuni hiyo  wakishuhudia.

No comments:

Post a Comment