Aliyekuwa
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Harry Kitilya na wenzake Shose Sinare na Sioi
Solomoni wamefikishwa mahakamani (Kisutu DSM) leo kwa mashitaka 8
ikiwemo tuhuma za kujipatia fedha kiasi cha Dola za Marekani milioni 6,
mwezi Machi mwaka 2013, ili kufanikisha mkopo kutoka Benki ya Stanbic
kwenda serikalini.
Watuhumiwa hao wamekana makosa na kurudishwa rumande hadi April 8, 2016
Watuhumiwa hao wamekana makosa na kurudishwa rumande hadi April 8, 2016
Haya ndio ale yanayisemwa na wahenga kuwa mbuzi hula ulefu wa kamba yake lakini hata hivyo majani yakiwa mengi basi atavimbiwa ndioyaliowakufa sasa wanahitaji kupakuliwa
ReplyDeleteHaya ndio ale yanayisemwa na wahenga kuwa mbuzi hula ulefu wa kamba yake lakini hata hivyo majani yakiwa mengi basi atavimbiwa ndioyaliowakufa sasa wanahitaji kupakuliwa
ReplyDelete