KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 9, 2016

BALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA AZUNGUMZA NA WAZIRI WA AFYA KUHUSU MRADI WA MATENGENEZO YA HOSPITALI KUU YA MNAZIMMOJA.

QU4

QU3
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo na Balozi wa Kuwait nchini Tanzania wakitembelea  wagonjwa waliolazwa katika wodi ya wanaume waliopata ajali katika Hospitali Kuu ya Mnazimmoja
QU2
Waziri wa Afya Mahamoud Thabit Kombo  akiwa na mgeni wake  Balozi wa Kuwait nchini Tanzania  akimtembelea Hospitali Kuu ya Mnazimmoja ambayo itafanyiwa matengenezo makubwa na Serikali ya nchi hiyo.
QU1
Waziri wa Afya Mahamoud Thabit Kombo akizungumza na  Balozi wa Kuwait  nchini Tanzaania Jasem Al Najim  alipomtembelea Ofisini kwake kumuelezea juu ya Mradi wa kuifanyia matengenezo makubwa Hospitali Kuu ya Mnazimmoja, Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment