KWA MAONI AU USHAURI E-mail: inocomm2014@gmail.com, PIGA SIMU: 0714555668

www.utt-pid.org


TEMBELEA: www.utt-pid.org

May 9, 2016

DC WA WILAYA YA SHINYANGA AKABIDHI HATI 92 ZA KIMILA

kurugenzi wa SHIDEPHA+ Venance Muzuka akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hati za hakimiliki za kimila zilizofanyika katika kijiji cha Nyida.
 

Haji Kihwele kutoka shirika la Oxfam akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hati za hakimiliki za kimila zilizofanyika katika kijiji cha Nyida.
Afisa Mtendaji wa kijiji cha Nyida John Sahani Nungula akizungumza katika hafla hizo; Alitaja shughuli za wakazi wa kijiji chake kuwa wengi ni ukulima, ufugaji na biashara ndogondogo na kwamba mazao yanayolimwa zaidi ni mpunga, mahindi, karanga, kunde, njugu mawe na mihogo
 

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Josephine Matiro akimkabidhi Anna Kadilana mkazi wa kijiji cha Nyida hati yake ya hakimiliki ya kimila. Anna alisema, “Nimeamua kukata hakimiliki kwa sababu ya kukwepa usumbufu hasa wa mipaka ambao ulikua unatokea mara kwa mara
 

No comments:

Post a Comment