![]() | ||
Picha ya mwaka 2014, Leicester wakishangilia ubingwa wa skybet. Miaka kadhaa iliyopita kipindi kama hiki mashabiki na wapenzi wa Manchester united walikuwa wakishangilia Ubingwa.Leo hali ni tofauti kwani Man U inaikaribisha Leicester City Old Trafford bila kuwa na uhakika wa nini kitatokea. Iwapo Man U watapoteza , basi watakosa nafasi nne muhimu za juu na kuifanya kokosa michuano ya UEF. Tusubiri tuone hali itakuwaje leo? |
No comments:
Post a Comment