Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro
Mhe,Chabaka Chilumanga Fereji wakati alipowasili katika uwanja wa Ndege
wa Comoro jana akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt.John Pombe Magufuli,katika sherehe za kuapishwa Rais mteule wa
Muungano wa Comoro Kanali Azali Assoumani, akiwa na ujumbe aliofuatana
nao akiwemo Mama Mwanamwema Shein,[Picha na Ikulu].25/05/2016.] |
No comments:
Post a Comment